| Raisi wa Rwanda Paul Kagame akisalimiana na Mama Fatma Karume aliyeomgozana na Yanga kwenda nchini Rwanda. |
| Kocha wa Yanga Saintfield akisamiliana na Kagame |
| Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji akisoma risala yake mbele ya Raisi Kagame |
| Wachezaji wa Yanga wakisikiliza kwa makini risala ya mwenyekiti wao |
| Nahodha wa Yanga na kocha wakimkabidhi kombel la Kagame - mdhamini mkuu wa kombe hilo Raisi wa Rwanda Paul Kagame. |
| Mama Karume na Seif Magari wakimkabidhi Kagame jezi ya Yanga |
| Paul Kagame akiongea na Wachezaji wa Yanga |
| Mchezaji Mbuyi Twite akiwa na wachezaji wenzie wa Yanga Ikulu ya Rwanda walipoalikwa na Raisi Paul Kagame. |
| PICHA ZOTE ZIMEPIGWA NA SALEHE ALLY WA CHAMPION |
0 comments:
Post a Comment