Monday, August 13, 2012

Okwi: Sijasaini Simba, naondoka


Emmanuel Okwi.
Na Wilbert Molandi

SIKU chache baada ya kujiunga na klabu yake ya Simba akitokea kwenye majaribio nchini Austria, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Emmanuel Okwi, amesema bado hajaongeza mkataba wa timu hiyo na pia anatarajiwa kuondoka tena kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka…

0 comments:

Post a Comment