Wednesday, August 15, 2012

Kwetu Pazuri: Haya ndio Maeneo ya kupumzikia jijini Dodoma


Eneo la mzunguko,lina mandhari nzuri sana hasa kupigia picha za aina mbalimbali.
Nyerere square ni sehemu maarufu watu wanapumzika na kupiga picha za aina Mbalimbali,jijini Dodoma.
Watu wakipumzika na kutafakari maisha mazuri ya Kitanzania.
Huu ndio mnara wa sanamu ya Baba wa Taifa la Tanzania , Mwalimu Julius Kambarage Nyerere uliopo jijini Dodoma.

1 comments: