Friday, August 24, 2012

PAUL KAGAME ALIVYOWAKARIBISHA YANGA KWENYE IKULU YA RWANDA


Raisi wa Rwanda Paul Kagame akisalimiana na Mama Fatma Karume aliyeomgozana na Yanga kwenda nchini Rwanda.

Kocha wa Yanga Saintfield akisamiliana na Kagame

Mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji akisoma risala yake mbele ya Raisi Kagame

Wachezaji wa Yanga wakisikiliza kwa makini risala ya mwenyekiti wao

Nahodha wa Yanga na kocha wakimkabidhi kombel la Kagame - mdhamini mkuu wa kombe hilo Raisi wa Rwanda Paul Kagame.

Mama Karume na Seif Magari wakimkabidhi Kagame jezi ya Yanga

Paul Kagame akiongea na Wachezaji wa Yanga



Mchezaji Mbuyi Twite akiwa na wachezaji wenzie wa Yanga Ikulu ya Rwanda walipoalikwa na Raisi Paul Kagame.

PICHA ZOTE ZIMEPIGWA NA SALEHE ALLY WA CHAMPION

0 comments:

Post a Comment