Friday, August 24, 2012

Viwanjani Leo Ijumaa-Yanga Kucheza Na Rayon ya Rwanda Leo


Rais Paul Kagame katika picha ya pamoja na Yanga. (Picha  na Saleh Ally wa gazeti la Champion).
Mabingwa wa Kombe la Kagame klabu ya Dar Young Africans  leo watashuka dimbani kuivaa Rayon Sports ya Rwanda kwenye Uwanja wa Amaholo jijini Kigali.

0 comments:

Post a Comment