Wednesday, August 15, 2012

Patachimbika: Simba na Azam ni vita ya kisasi




 

Pichani: Mechi ya robo fainali ya Kombe la Kagame, ambapo Simba ililala 3-1.

Na Lucy Mgina

KLABU ya Mtibwa Sugar leo Jumatano itaingia mzigoni kupambana na Jamhuri ya Zanzibar katika mchezo mkali wa nusu fainali ya michuano ya Super 8, huku Simba ikiivana Azam.

Michezo yote hiyo itapigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku ule wa Mtibwa ukitacheza saa nane mchana.

Mashabiki wanasubiri mchezo huu kwa hamu kubwa na wanaamini kuwa utakuwa maalum kwa ajili ya kulipa kisasi cha mabao 3-1 ambacho Simba ilipata kwenye robo fainali ya Kombe la Kagame.

Akizungumza na Championi Jumatano, Meneja wa Mtibwa, David Gboya, alisema mechi hiyo itakuwa ngumu kutokana na kila timu kujiandaa vyema, ikiwa…

0 comments:

Post a Comment