Friday, August 17, 2012

MABANGO YA WAGANGA WA KIENYEJI HATIMAYE YAHOJIWA BUNGENI

 Mabango ya matangazo ya waganga yaliyotapakaa kila kona ya Jiji la Dar es Salaam wakitangaza kazi zao katika jamii hatimaye yameaanza kuhojiwa huko Bungeni pale MBUNGE wa Viti Maalumu, Bety Machangu (CCM)alipouliza swali Bungeni “Je, serikali inaruhusu matangazo hayo? Na ni kweli kwamba waganga hao wanatibu magonjwa hayo ama wanawadanganya wananchi tu?” alihoji mbunge huyo.
Hili ni mojawapo ya mabango hayo yanayohojiwa  huyu yeye akiorodhesha vile anavyotibu  huku UKIMWI akionekana kuutilia msisitizo wakati  wanasayansi wa Taasisi ya Magonjwa ya Kuambukiza na Mzio (Niaida) ya Marekani, akisema kuwa tiba hiyo inaweza kutibu ugonjwa huo hatari kwa asilimia 90  mwezi mei walitangaza kupata tiba hiyo hatujui Dr.Ngulumo aligundua lini tiba hiyo ? Ukweli ni kwamba Dawa ya UKIMWI-Huu ndi ukweli soma upate maarifa zaidi la sivyo utapotea.


 Hayo ndio mabangozz..!! yaliyoja kila kona ya Jiji la Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment