Friday, August 17, 2012

TANESCO WAZIDI KUKAMATA WEZI WA UMEME

Fundi wa Tanesco aking'oa moja ya mita iliyokutwa na ghost token katika jengo la Sophia Chang'ombe jijini Dar es Salaam.
 Mita za umeme ambazo zinatuhumiwa kuhusika na wizi huo
..............................
Huku shirika la umeme nchini TANESCO likielemewa na mzigo wa madeni na kashfa za vigogo kufuja fedha wateja nao wameanza kuliibia shirika hilo umeme hatua ambayo ilishawahi kumfanya aliyekuwa Mkurugenzi wa TANESCO wakati fulani kuingia mtaani kushuhudia mwenyewe jinsi wezi wa umeme wanavyoiba.
 
 TANESCO imekuwa kwenye kampeni ya kuwabana wezi wa Umeme unaweza kutembelea tovuti ya Shirika la Umeme Nchini kuweza kupata habari mbalimbali kuhusiana na Shirika hilo

0 comments:

Post a Comment