Thursday, August 16, 2012

Bus La Muhamed Trans Lapata Ajali Km 15 Kutoka Bukoba Mjini


RPC Kelenge kulia akijadili jambo na RTO  Willy eneo la tukio
     Bus la muhamed trans lenye nambari  T884 likiwa limepinduka
Lori lenye nambari  T814 liliokua baada ya kugongwa na bus kwa kutokea nyuma.


Ajali hii imetokea asubuhi ya leo majira ya saa moja kasoro ni eneo la kyetema km 5 kabla ya kifika kemondo na ni umbali wa km 15 kutoka bukob mjini. Baada kwa kuligonga lori la mchanga  bus hilo lilikua likisafiri kutoka bukoba mjini kuelekea Mwanza, na abiria wote wamenusurika!

Picha kwa hisani ya:-
Bukobawadau
P. O.Box 316,
Bukoba – TANZANIA
Mobile:MC BARAKA GALIATANO +255 715 505043,
 SIR.LOOM   GALIATANO   +255 768 397241

0 comments:

Post a Comment