Thursday, August 16, 2012

WAPENZI WA ARSENAL WAKILIA NA KUSAGA MENO, KWA HASIRA WAFANYA HAYA


Muda mchache baada ya vilabu vya Arsenal na Man United kuthibitisha kwamba vimekubalina ada ya uhamisho wa mchezaji RobinVan Persie kujiunga na mashetani wekundu - baadhi ya mashabiki wa Arsenal wamekuwa wakipost picha mitandaoni kuonyesha namna walivyopokea taarifa za nahodha wao kwenda Old Traford. Wapenzi wa Arsenal vipi? KAMA YOYOTE AMBAYE ANATAKA KUONYESHA HASIRA ZAKE KAMA HAWA ATUME PICHA AU MAONI KWENYE EMAIL HII - shaffidauda@gmail.com

0 comments:

Post a Comment