Thursday, August 16, 2012

Mbio Za Mwenge Wa Uhuru Mkoani Arusha



Wasichana wa jamii ya Wadzabe wakiwa kwenye pozi kuulaki Mwenge wilayani Ngorongoro.

Baadhi ya wananchi waliopata bahati ya kushika Mwenge wa Uhuru kwenye kituo cha Polisi Ngorongoro kilichokarabatiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro(NCAA).
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo akiwa ameshika Mwenge wa Uhuru kabla ya kuukabidhi kwa mkuu wa mkoa wa Mara kwenye lango la Hifadhi ya Taifa Serengeti

Mkuu wa wilaya ya Karatu,Felix Ntibenda(kulia)akiwa na wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa na askari wa kutuliza ghasia mkoa wa Arusha wakiwa katika hali ya hamasa na ukakamavu

0 comments:

Post a Comment