Thursday, August 16, 2012

VIFAA VIPYA VYATUA SIMBA SPORTS CLUB!


Mohamed Nassor (kushoto) akimshuhudia mshambuliaji  wa klabu ya Simba, Daniel Akuffo akisaini mkataba wa kuichezea klabu hiyo. 

 
Mohamed Nassor (kushoto) akimshuhudia beki mpya ,Paschal Ochieng akisaini mkataba wa kuichezea klabu hiyo.
Ochieng kulia na Akuffo kushoto

0 comments:

Post a Comment